• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Wafanyakazi Rasilimali Muhimu Uchumi wa Viwanda- Waziri Mwijage

Posted on: April 28th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Wafanyakazi ni rasilimali muhimu katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kukuza pato la nchi ikilinganishwa na rasirimali nyingine zote.

Kauli hiyo ilitolewa na waziri wa viwanda na biashara, Charles Mwijage alipokuwa akifungua kongamano la Tanzania ya viwanda lililofanyika katika ukumbi wa Kichangani mjini Iringa jana.

Waziri Mwijage alisema kuwa nchi ina rasilimali nyingi sana. Rasilimali muhimu aliitaja kuwa ni rasilimali wafanyakazi. Alisema kuwa wafanyakazi ni muhimu katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kukuza pato la taifa.

Akiongelea uchumi wa kati, waziri huyo alisema kuwa uchumi wa kati unategemea shughuli za watu katika kujenga viwanda vinavyochakata na kusindika malighafi za mazao ya shamba. Dhamira ya serikali ni kuhakikisha nchi inakuwa na sekta ya viwanda iliyo imara, shindani na endelevu. Alisema kuwa viwanda vinavyoongelewa siyo viwanda vya kufa kama binadamu, bali ikitokea vikafa, vinazaliwa vingine na kuendeleza nyororo wa thamani. Alisema kuwa watu wengi wamekuwa na mtazamo tofauti wa dhana ya kiwanda, alisisitiza kuwa mtu akiwa na cherehani nne hicho tayari ni kiwanda kidogo. Viwanda vidogo vinasaidia kupunguza kusafirisha mazao na hatari ya mazao hayo kuharibika wakati wa usafirishaji wake.

Waziri Mwijage alitoa wito kwa jamii kuwashawishi wafanyakazi kuanzisha viwanda tofauti na utaratibu wa sasa wa kukopa kwa ajili ya kununua magari. Aidha, alizitaka mamlaka za serikali za mitaa kutenga maeneo kwa ajili ya uanzishwaji wa viwanda. Alishauri viwanda vinavyoanzishwa viwe vinavyoongeza thamani.

Waziri Mwijage, alisema kuwa mipango iliyopo ni kuufanya uchumi ujikite katika maendeleo ya watu. “Uchumi tulionao ni wa maendeleo ya vitu zaidi kuliko maendeleo ya watu, hivyo tunataka kufanya mageuzi ya maendeleo ya watu ambayo yanapimwa kwa vitu vitatu”. Alivitaja vitu hivyo kuwa ni elimu, afya na kipato kitakachopatikana kutokana na uchumi wa viwanda.

Alisema kuwa serikali inajukumu la kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji.

=30=


Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.