• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

WAKULIMA WATAKIWA KUTUNZA KUMBUKUMBU

Posted on: August 16th, 2017

Wakulima na wajasiriamali watakiwa kuweka utaratibu wa kutunza kumbukumbu za mahesabu ili kubaini faida na hasara inayopatikana katika shughuli zao.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Wamoja Ayubu alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara ya kukagua mabanda alipomuwakilisha mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza.

Ayubu alisema “ni vizuri wakulima na wajasiriamali wakafundishwa jinsi ya kutunza kumbukumbu za mahesabu ya kilimo na uzalishaji ili kufahamu gharama na mwenendo mzima wa kazi wanazofanya. Kufanya hivyo kutamsaidia mkulima na mjasiriamali kujua hali halisi ya kazi anayofanya na kuwawezesha kutoa ushuhuda” alisema Ayubu.

Katibu Tawala Mkoa wa Iringa aliwataka wakurugenzi kuhakikisha wanawapangia malengo maafisa ugani ili waweze kutoa tija katika shughuli za kilimo na mifugo. “Hakikisheni wataalam hawa mnawapangia malengo yanayopimika na wawe na mpango kazi unaotekelezeka. Utaratibu huu utawawezesha wakulima na wafugaji kuhudumiwa” alisisitiza Ayubu.

Akiongelea uzalishaji katika mashamba ya kuzalisha mitamba ya serikali ya Kitulo na Sao-Hill, Katibu Tawala Mkoa aliyataka mashamba hayo kuongeza uzalishaji wa mitamba ili kukidhi mahitaji ya mitamba katika mikoa ya nyanda za kuu kusini. “Mahitaji ya mitamba ni makubwa kwa mikoa ya nyanda za juu kusini, hivyo soko ni la uhakika. Kinachotakiwa ni kuzalisha mitamba zaidi” Alisisitiza Ayubu. Aidha, aliyakata mashamba hayo kuongeza matumizi ya teknolojia katika uzalishaji wa mitamba.

Maonesho ya shughuli za wakulima Nanenane mwaka 2017 yanaongozwa na kaulimbiu isemayo, “zalisha kwa tija mazao na bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi kufikia uchumi wa kati”.

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • KUELEKEA MBIO ZA THE GREAT RUAHA MARATHON

    July 01, 2025
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.