• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

WAKURUGENZI MUFINDI WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI

Posted on: September 15th, 2018

Na. Dennis Gondwe, Afisa Habari, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa- Iringa

Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wilayani Mufindi wametakiwa kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili iendane na thamani ya fedha zinazotolewa na Serikali.

Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa wilayani Mufindi katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi jana.

Mhe Hapi alisema “wakurugenzi simamieni vizuri utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yenu ili kujiridhisha na thamani ya fedha iliyotumika katika utekelezaji wake. Kuna madudu mengi yanafanyika katika miradi ya maendeleo kutokana na watumishi wasio wazalendo”. Vilevile, aliwataka watumishi wa umma na taasisi binafsi kusimamia miradi iliyokusudiwa kutekelezwa kwa kuzingatia falsafa ya Iringa mpya, ili iwe na viwango na maslahi kwa Taifa.

Aidha, aliwataka kusimamia watumishi wanaowaongoza ili wawahudumie wananchi vizuri. “Katika Iringa mpya nataka wananchi wetu wahudumiwe vizuri hasa wananchi wanyonge. Wananchi wanyonge hawana fedha za kwenda mahakamani, wananchi wanyonge hawana fedha za kwenda kwenye mabaraza ya Ardhi wala hawana nauli ya kusafiri kwenda kufuatilia haki zao. Tukiwakwaza hawa hawana mtu wa kumlilia wala kushtaki zaidi ya kusubiri viongozi wawatembelee” alisisitiza Mhe Hapi.

Akiwa wilayani Mufindi, Mkuu wa Mkoa alitembelea Tarafa za Kibengu, Kasanga, Sadani, Malangali na Ifwagi. Pamoja na mambo mengine, alifanya mikutano mikubwa mitano ukiwemo mkutano wa uzinduzi wa kampeni ya Iringa mpya na mikutano midogo midogo 12 na wananchi kupewa fursa ya kuhoji na wataalam kujibu kero za wananchi.

=30=

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.