• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

WATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUWAPA KIPAOMBELE VIONGOZI WA DINI IRINGA

Posted on: August 7th, 2018

Na ofisi ya mkuu wa mkoa, Iringa

Watendaji wa serikali mkoani Iringa wametakiwa kuwapa kipaombele viongozi wa dini wanapofika katika ofisi za umma kupata huduma mbalimbali.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Hapi alipokuwa akiongea na viongozi wa dini wa mkoa wa Iringa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa Mkoa.

Hapi alisema “mimi naheshimu sana viongozi wa dini katika kazi na utumishi wetu. Sitataka viongozi wa dini wapange foleni kwenye mabenchi ya ofisi za umma. Namuelekeza Katibu Tawala Mkoa na wakuu wa Wilaya lazima viongozi hawa wasikilizwe kwa haraka wanapofika katika ofisi za umma. Mambo ya viongozi wa dini yapewe kipaombele”. Viongozi wa dini wanajukumu kubwa la kuwahudumia wananchi na kuliombea taifa, wasikilizwe haraka hoja zao kwa kuzingatia sheria na taratibu za nchi.

Hapi alisema kuwa uongozi wake una nia thabiti ya kuleta maendeleo kwa mkoa wa Iringa. “Tunatamani kufanya mambo makubwa katika mkoa wetu, tunatamani kukuza utalii katika mkoa wetu ukizingatia tuna hifadhi kubwa ya taifa ya Ruaha, tunatamani kuhamasisha ujenzi wa viwanda vingi mkoani Iringa, tunatamani kuuza unga nje ya nchi badala ya kuuza mahindi ili vijana wetu wapate ajira ndani ya mkoa” alisisitiza Hapi.

Wakati huohuo, Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Happines Senenda alisema kuwa alishangazwa na wingi wa muitikio wa viongozi hao wa dini katika kikao na mkuu wa Mkoa. “Hii imenidhihirishia kuwa wana Iringa ni wamoja” alisema Senenda. Hakika tunaanza na Mungu, aliongeza.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa alifanya kikao rasmi na viongozi wa dini ili kujitambulisha na kuomba ushirikiano wao katika kufanikisha malengo ya serikali katika mkoa wa Iringa

=30=

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.