• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

WATUNZA KUMBUKUMBU KUWENI WAAMIFU NA WAADILIFU - DC KHERI JAMES

Posted on: May 7th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James amewataka watunza kumbukumbu nchini kuhakikisha wanakuwa na uaminifu na watunza siri katika utendaji wao wa kazi.

Ameyasema hayo leo Mei, 07, 2024 wakati alipo muwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwenye ufunguzi wa kikao kazi na mafunzo maalumu kwa watunza kumbukumbu kutoka Tanzania bara na visiwani kilichofanyika katika ukumbi wa Masit Mjini Iringa.

Akizungumza na watendaji hao Mhe. James amesema kuwa moja ya kazi ya kuiheshimu ni kazi ya utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka hivyo suala la uadilifu,uaminifu na utunzaji wa siri unapaswa kupewa kipaumbele katika utendaji wa kila siku wa shughuli za Serikali.

Akitoa taarifa kwa Mgeni rasmi Mwenyekiti wa TRAMPA Ndg. Devota Mlope amesema kuwa lengo la kikao hicho ni kuweza kuwajengea uwezo watunzaji wa kumbukumbu na nyaraka katika utendaji wa shughuli zao za kila siku ambapo mafunzo hayo yatawasaidia kuwajengea uhodari na kuongeza tija na ufanisi.

Nao baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo wamesema mafunzo hayo yatawasaidia katika utendaji wao wa kazi pindi wawapo Ofisini huku wakiiomba Serikali kwenye mafunzo hayo kuungana na viongozi  wa ofisi kuwajengea uwezo ili nao wapate Elimu ya utunzaji wa siri kwani wao wamekuwa wakitunza siri kutokana na Taaluma yao lakini viongozi walio juu baadhi yao wamekuwa sio waaminifu.

Zaidi ya watunza kumbukumbu Elfu moja kutoka Tanzania Bara na Visiwani wameudhuria mafunzo hayo ambayo yatatolewa kwa siku nne. 

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • View All

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.