• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Mh. Hapi aongoza kikao kujadili Hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Posted on: May 15th, 2020

Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Ally Hapi Aongoza Mkutano wa Baraza la Madiwani Kujadili Hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Tarehe 15 Mei, 2020

Pamoja na salamu mbalimbali Mheshimiwa Hapi ametumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu na kupata nafasi katika mkutano huu kujadili hoja za Mkaguzi wa Serikali kwa mwaka unaoshia 2018/2019. Pia Mheshimiwa Hapi amewapongeza kwa kupata hati safi, hii imekuwa kwa miaka mitatu mfululizo, na kuongeza kuwa kupongeza Halmashauiri zote tano za Mkoa wa Iringa kwa kufanya vizuri.

Amesema kuwa, mafanikio haya yanatokana na ushirikianokwa Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Wakuu wa Idara na watendaji wote katika Halmashauri, na kusema kuwa hoja zote ambazo hazijafungwa zitajadiliwa vizuri na kufunga.

Mheshimiwa Hapi ametoa rai kwa watendaji wa Halmashauri hiyo kuwa:

-Kuhakikisha hoja za mwaka 2018/2019 na za miaka ya nyuma zinafanyiwa kazi.

-Kukusanya madeni kiasi cha Tsh. Bilioni 1.6 ambazo zinaonekana zimekusanywa lakini hazijawasilishwa.

-Halmashauri pia ihakikishe kiasi cha Tsh. 2.1 bilioni wanazodai watu mbalimbali kama wakandarasi, stahiki za watumishi zilipwe kwa wakati. Aidha katika taarifa ya CAG kiasi cha Tsh. 1.1 bilioni zinadaiwa, hivyo kuonesha Halmashauri haijishughulishi na madeni ya watoa huduma.

-Halmashauri isimamie mali zake, inaonesha kuna magari mawili ni mabovu hayatembei.

-Kuhakikisha Halmashauri inatenga 10% ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo kwa walemavu, vijana na wanawake. Inaonekana katika kiasi cha Tsh. 125 milioni ilishindwa kuchangia.

-Fedha zilizopo kwenye akaunti ya Amana zitumike kwa makusuidi yaliyokusudiwa.

-Halmashauri ihakikishe inapata wakandarasi wenye sifa katika miradi ya maendeleo

Mheshimiwa Hapi pia ametumia fursa hii kuwaambia Halmashauri kuwa, sababu kubwa ya kuwepo kwa hoja hizi ni kutokana na kutokuwa makini katika mifumo bora ya kukusanya mapato.

Pia Mheshimiwa Hapi ameendelea kuwaasa wananchi kuchukua tahadhali juu ya janga la ugonjwa Covid-19, kwani weninge wanasema kuwa ugonjwa haupo, ila nawaambia tu kuwa ugonjwa huu upo sana tu, na tuendelee kuchukua tahadhali. Amesema kuwa, Mkoa wetu upo barabarani na kuunganisha mikoa mingine na nchi za jirani, hivyo tunapata wageni wengi mbalimbali wanaopita katika Mkoa wetu.

Uwamuzi wa Serikali wa kuruhusu shughuli za kiuchumi ziendelee na jambo jema kwetu, kwani tungefunga uchumi sasa hivi tungekuwa tunahali mbaya ya kiuchumi, kwani sisi ni nchi inayoendelea. Naomba tushikamane na tuchukue tahadhali.

Kwa sasa tunaelekea mwishoni mwa uhai wa Baraza na kuelekea kwenye uchaguzi, nawashukuru sana, kwani tumefanikisha mambo makubw ya kimaendeleo. Namshukuru kipekee Mheshimiwa Mhapa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa kushirikiana nami kama Mkuu wa Mkoa wa Iringa katika shughuli zote za maendeleo kwa kipindi chako chote ulichokuwa madarakani.

Maagizo kwa Halmashauri:-

-Kuwepo kwa malalamiko ya watumishi waliopandishwa vyeo na madaraja kutoshughulikia stahiki zao

-Upatikanaji wa maji safi na salama

-Mikopo kutolewa kwenye vikundi vilevile tu bila kujali kama kuna vikundi vingine. Kuna vikundi vya Upendo na Mshikamani vya Kata ya Nyang’oro havijawahi kupata mikopo.

-TARURA kushughulikia barabara zote zilizoharibiwa na mvua

Mheshimiwa Hapi alimaliza kwa kusema, nawatakia uchaguzi mwema kwa wagombea watarajiwa wote.



Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • KARIBU MKOANI IRINGA

    June 28, 2025
  • RC SERUKAMBA AMESHIRIKI NA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA MDOGO WAKE NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU MHE WILLIAM LUKUVI

    June 07, 2025
  • View All

Video

WASHIRIKI 10,000 KUTIKISA MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 MKOANI IRINGA
More Videos

Quick Links

  • Iringa Region Revenue Collection
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Related Links

  • State House
  • Public Service Recruitment Secretariat
  • PORALG
  • National Bureau of Statitics
  • Information Department
  • Tanzania Government Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Telephone: +255 262 702 715

    Mobile:

    Email: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.