• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

ZAIDI YA WATAHINIWA 24,000 KUFANYA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI IRINGA

Posted on: September 5th, 2017

Na. ofisi ya mkuu wa mkoa

Watahiniwa zaidi ya 24,000 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2017 mkoani Iringa.

Kauli hiyo ilitolewa na afisa elimu mkoa wa Iringa, mwalimu Majuto Njanga alipokuwa akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Iringa leo.

Mwalimu Njanga alisema “jumla ya idadi ya watahiniwa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka 2017 kwa mkoa wa Iringa ni 24,906. Kati ya watahiniwa hao, wavulana ni 11,494 na wasichana ni 13,412”. Akiongelea Mchanganuo kwa kila Halmashauri, alisema kuwa Halmashauri ya Manispaa ina watahiniwa (3,738), Halmashauri ya wilaya ya Iringa watahiniwa (6,519), Halmashauri ya wilaya ya Kilolo watahiniwa (5,940), Halmashauri ya wilaya ya Mufindi watahiniwa (6,820) na Halmashauri ya mji Mafinga watahiniwa (1,889).

Akiongelea mandalizi ya mitihani hiyo, afisa elimu mkoa wa Iringa alisema kuwa maandalizi yote yamekamilika. Alisema kuwa maandalizi hayo yalitanguliwa na semina elekezi kwa wahusika wote. Alisema kuwa mitihani imesambazwa katika Halmashauri zote za mkoa wa Iringa. “Mitihani yote imekwishasambazwa kila Halmashauri na usalama ni mzuri, hakuna tatizo lolote lililoripotiwa. Kwa mkoa mzima kuna mikondo 1,162 ambayo ni sawa na idadi ya wasimamizi” alisema Mwalimu Njanga.

Mtihani wa kumaliza elimi ya msingi mwaka 2017 utaanza tarehe 6/9/2017 hadi 7/9/2017 nchini kote kwa kuanza na masomo ya lugha ya kiingereza, hisabati na maarifa ya jamii na siku ya mwisho kumalizia na mitihani ya sayansi na kiswahili.  

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.