• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • UTALII IRINGA
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MAMA SAMIA ASIKITISHWA NA WAPINGA MAENDELEO IRINGA

Posted on: February 11th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Makamu wa Rais wa Tanzania, mama Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na watu wanaokwamisha juhudi za wananchi kujiletea maendeleo na kuuagiza uongozi wa Mkoa wa Iringa kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria.

Mama Hassan alionesha masikitiko yake jana alipokuwa akihutubia mamia ya wananchi wa mji mdogo wa Ilula na vitongoji vyake jana.

Mama Hassan alisema kuwa wapo watu wanaopita mitaani kudumaza kasi ya maendeleo na nguvu za wananchi zinazowekwa katika kujiletea maendeleo. Aliongeza kuwa wapo wafanyabiashara na sekta binafsi wameonesha nguvu zao katika kuunga mkono juhudu za wananchi kuwaletea maendeleo lakini wanakwamishwa na baadhi ya watu kutofikia dhamira ya serikali. “Watu hao wanaodumaza juhudi za maendeleo wanajiita watanzania. Naomba sana kama kuna watu wa aina hiyo, washughulikieni. Sheria, kanuni na miongozo ipo. Hapana hatuwezi kuendelea kwa namna hiyo” alisema mama Hassan.

Akitoa salamu za Rais Dr. John Magufuli, Makamu wa Rais alisema kuwa “Mheshimiwa Rais anawapongeza wananchi wa Kilolo kwa juhudi wanazozifanya kujiletea maendeleo. Anaelewa juhudi mnazozifanya katika kujenga hospitali ya wilaya na hatua mliyofikia. Anaipongeza wilaya kwa kupata hati safi ya hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016” alisema mama Hassan.

Makamu wa Rais aliwataka wananchi wa Kilolo kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais Dr. Magufuli na serikali yake ya awamu ya tano kwa kufanya kazi kwa bidii ili maendeleo yaende kwa kasi. Serikali itasukuma sekta za elimu, afya, maji, umeme vijijini na miundombinu ili huduma hizo ziwe rahisi kwa wananchi na kuwaongezea kasi ya kufanya kazi.

=30=



Matangazo

  • BURIANI HAYATI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI March 19, 2021
  • Ratiba ya Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Machi March 08, 2019
  • Ratiba ya Mh. Mkuu wa Mkoa kwa Mwezi Aprili April 04, 2019
  • Rc Hapi Aanza Ziara Kukagua Miradi Halmashauri Za Iringa August 27, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoa Ally Hapi na Katibu Tawala Mkoa Bi, Happiness Seneda, pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama

    June 11, 2020
  • Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Ally Hapi Aongoza Mkutano wa Baraza la Madiwani Kujadili Hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Halmashauri ya Wilaya Mufindi Tarehe 28 Mei, 2020

    May 28, 2020
  • Mkuu wa Mkoa Mheshimiwa Ally Hapi Aongoza Mkutano wa Baraza la Madiwani Kujadili Hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Halmashauri ya Mji wa Mafinga Tarehe 22 Mei, 2020.

    May 22, 2020
  • Mh. Hapi aongoza kikao kujadili Hoja za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

    May 15, 2020
  • Tazama zote

Video

Wanasiasa uchwara wanapotosha jamii kuhusu corona
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Pawaga Road

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, Iringa

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2019, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.