• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

IRINGA MPYA KUIFANYA SERIKALI IWAJIBIKE KWA WANANCHI

Posted on: September 20th, 2018

Na. Dennis Gondwe, Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-Iringa

Kampeni ya Iringa mpya imelenga kuifanya Serikali iwajibike kwa wananchi wake kwa kuwahakikishia huduma bora.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa wilayani Kilolo katika shule ya sekondari ya Ilula jana.

Mhe Hapi alisema “dhumuni kubwa la ziara ya Iringa mpya ni kuifanya Serikali iwajibike kwa wananchi wake, Iringa mpya inalenga kuwafanya watendaji wa Serikali wawajibike kwa wananchi”. Serikali lazima iwe na utaratibu wa kujitathmini. Serikali ambayo haina utaratibu wa kujitathmini inakuwa imekalia uzi mwembamba, aliongeza. Ziara ya Iringa mpya ni kutathmini utendaji wa Serikali kwa wananchi wake. “Wote tumepata nafasi ya kujitathmini na kuona wananchi wanatutazamaje kwenye kazi zinazofanya. Ndugu zangu ziara hii ni kioo cha kutathmini utendaji wa mtu mmoja mmoja” aliongeza Mhe Hapi.

Aidha, alimtaka Mkurugenzi tendaji Wilaya ya Kilolo, kuwasimamia vizuri wakuu wa idara na vitengo ili watekeleze majukumu yao na kuwasimamia watumishi walio chini yao. “Mkurugenzi anaweza kuwa mwalimu au mtu yeyote, kwa kuwa anakuwa na wakuu wa idara wa sekta mbalimbali kama elimu, maji, kilimo, mifugo, afya, maendeleo ya jamii, mkaguzi wa ndani akiwasimamia vizuri mambo yanaenda vizuri na kero za wananchi zitaisha. Serikali ni wakuu wa idara, serikali ni wakuu wa vitengo” alisema Mhe Hapi.

Akiwa ziara ya Tarafa kwa Tarafa wilayani Kilolo, Mkuu wa Mkoa alitembea umbali wa Kilometa 943, kufanya mikutano mikubwa mitatu na mikutano midogo 10.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.