• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

IRINGA FESTIVAL, KULETA MAPINDUZI YA KIMAENDELEO IRINGA.

11 June 2024

Katika Kuhakikisha  Iringa inaendelea kujitangaza kuwa ndio lango kuu la Utalii Kusini na shughuli nyinginezo, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe.Peter Serukamba amesema kuwa kwa sasa Mkoa unaanziasha Iringa Festival likiwa na lengo la kuacha kuutangaza utalii tu bali kuangazia  fursa za uzalishaji mali zinazofanywa Mkoani Iringa kwa lengo la kupata maendeleo.Mhe. Serukamba ameyasema hayo leo Juni 11,2024 katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisini kwake wakati akizungumza na Wafanyabishara na wadau mbalimbali wa maendeleo ambapo amesema kuwa lengo lingine la kuanzisha Iringa Festival ni kuhakikisha Tanzania nzima inafahamu fursa zinazopatikana Iringa na kupata Wateja na Wawekezaji .Naye Mkurugenzi na Mtaalam wa ukuzaji wa uchumi wa kampuni ya Kikashi Tanzania Limited ,Zachy Mbenna ameeleza kuwa Iringa iliangaliwa kwa kuona haja ya kutambua fursa za uwekezaji, biashara  na utalii uliopo Iringa na kuelekea maendeleo ya dunia katika nyanja ya kisiasa na kijamii.Katika hatua nyingine Mbenna amesema moja ya sababu ya kuanzisha Iringa festival ni kutaka Iringa kuwa kitovu cha uwekezaji katika Tanzania nzima ambapo ili kufanikiwa kufanya Iringa festival itabidi iambatane na maonesho ya utalii wa Iringa ,ngoma za asili, maonesho ya bidhaa, vyakula vya asili ,burudani na zoezi la mbio ambalo litawapitisha wakimbiaji katika maeneo ya vivutio yatakayoshiriki na Wafanyabiashara, Wadau mbalimbali wa biashara ,Wadhamini ,Wasanini ,Wapikaji wa vyakula ambapo kutakuwa na gharama ya ushiriki maonesho hayo itatangazwa muda ukifika.Hata hivyo Katibu Mbenna amefafanua kuwa kutakuwa na mashindano ya kuchuma chai ambapo lengo ni kuonyesha ulimwengu kuwa Mkoani Iringa katika eneo la mufindi kuna ulimaji wa zao la chai ili kuweza kuleta ushiriki wa Makampuni makubwa na kufanyika uwekezaji.Kwa upande wao Wafanyabiashara mbalimbali wamelipongeza suala hilo huku kila mmoja akitoa maoni yao pamoja na kuongeza uaminifu katika kila huduma iitakayotolewa na Wafanyabiashara.Aidha Iringa Festivals itabeba taswira ya matukio yaliyokuwa yanafanyika katika hafla ya Utalii Karibu Kusini ambayo imezoeleka hufanyika kila mwisho mwa mwaka .Sasa Iringa Festivals inatarajiwa kufanyika mwezi wa nane ,2024 ambapo kauli mbiu yake inatarajiwa kuwa "TWIWONE Iringa yenye fursa lukuki " .#IringaLangolaUtaliiKusini

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAZIRI MKUU ASHIRIKI MBIO ZA GRUMA 2025

    July 05, 2025
  • KUELEKEA MBIO ZA THE GREAT RUAHA MARATHON

    July 01, 2025
  • MAAFISA ELIMU WAAGIZWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MICHEZO MASHULENI

    June 29, 2025
  • MASHINDANO YA UMITASHUMTA NA UMISSETA 2025 YACHAGIZA UCHUMI WA IRINGA.

    June 29, 2025
  • Tazama zote

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.