• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

KIKAO CHA LISHE CHAONYESHA MAFANIKIO MKOANI IRINGA

Posted on: September 11th, 2025

KIKAO CHA LISHE CHAONYESHA MAFANIKIO MKOANI IRINGA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa, Bi. Doris Kalasa, Leo Septemba 11, 2025 ameongoza kikao cha tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe kwa kipindi cha Aprili hadi Juni 2025. Kikao hicho kimeudhuriwa na wadau mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu, afya, Maendeleo ya Jamii, na uchumi kwa lengo la kupitia hatua zilizochukuliwa katika kuimarisha hali ya lishe kwa watoto na wanafunzi mashuleni.

Katika kikao hicho, wadau wamejadili umuhimu wa kuendelea kuelimisha jamii umuhimu wa lishe bora mashuleni pamoja na kuwahimiza viongozi kuhakikisha vyakula vinavyouzwa mashuleni vinakuwa salama na vyenye ubora wa lishe. Hatua hii inalenga kuhakikisha wanafunzi wanapata mlo bora utakaosaidia kukuza afya na kuimarisha uwezo wao wa kujifunza.

Hata hivyo, Ripoti iliyowasilishwa imeonyesha kuwa hali ya lishe kwa watoto walio chini ya miaka mitano inaendelea kuimarika kutokana na mshikamano wa wadau katika kutekeleza afua mbalimbali. Aidha, imebainika kuwa mikakati inayotekelezwa imekuwa na mchango mkubwa ikiwemo uanzishwaji wa klabu za lishe mashuleni, kuendeleza stadi za uzalishaji mali, na kuimarisha afya za wanafunzi.

Akihitimisha kikao hicho, Bi. Kalasa amewataka wadau kuendelea kushirikiana na kuongeza juhudi katika kuhimiza matumizi ya lishe bora. Amesema mshikamano huo utasaidia kuongeza kasi ya kupunguza changamoto za lishe na kuimarisha afya ya watoto na Jamii kwa ujumla.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA LISHE CHAONYESHA MAFANIKIO MKOANI IRINGA

    September 11, 2025
  • Dkt. MGIMBA AONGOZA TIMU KUKAGUA MIUNDOMBINU YA AFYA IRINGA

    August 21, 2025
  • DKT. SAMIA AIBADILISHA IRINGA KWA Bil. 7.5 ZA ELIMU

    August 05, 2025
  • TAARIFA YA KUWAKARIBISHA WANANCHI KUTEMBELEA MABANDA YA MKOA WA IRINGA

    August 01, 2025
  • Tazama zote

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.