• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

MKOA WA IRINGA KINARA USHINDI WA JUMLA WA USAFI WA MAZINGIRA

Posted on: May 9th, 2024

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdori Mpango amemkabidhi funguo ya gari na Cheti Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Peter Serukamba baada ya Mkoa wa Iringa kuibuka Mshindi wa Jumla wa Usafi wa Mazingira na Ujenzi wa Vyoo Bora(ODF) kwa mwaka 2023.

Zawadi hiyo imetolewa kwenye uzinduzi wa Kampeni ya Mtu ni Afya Awamu ya Pili iliyofanyika uwanja wa Stendi ya mabasi ya zamani ya Maili moja Mji Kibaha Mkoani pwani na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Waheshimiwa Madiwani , Wakurugenzi na wakuu wa Idara na Wananchi Mbalimbali.

Akizungumza wakati wa kuzindua Kampeni hiyo Mgeni Rasmi Ambae ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango amesema Kampeni hii inahimiza kila mwananchi ajikinge na maradhi na kupunguza gharama kwa Serikali kwa Mikakati Tisa:-

- Ujenzi wa vyoo bora kwenye maeneo yote ya mikusanyiko

- Kunawa mikono kwa maji tiririka

- Uondoshaji wa maji taka

- Kutibu maji ya kunywa

- Hedhi salama kwa watoto wa kike

- Menejimentiti ya taka mgumu

- Lishe bora

- Usafi wa mazingira

- Elimu kuhusu tabia nchi na nishati bora ya kupikia


Mkoa wa Iringa umepata Ushindi wa Jumla wa Usafi wa Mazingira na Ujenzi wa Vyoo Bora (ODF) 2023 ambapo ni ushindi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Iringa na umekabidhiwa gari landcruser na cheti . Hafla imehudhuriwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Comrade Daudi Yassin,

Kuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Mafinga Mhe. Regnant Kivinge na Wakuu wa Idara wa Afya na usafi wa Mazingira na watendaji wa Kata.


Kauli mbiu: Mtu ni Afya

Afya yangu wajibu wangu

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.