• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh,Queen Sendiga leo tarehe 08.01.2022 amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya mkoa

Posted on: January 8th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Iringa Mh,Queen Sendiga  leo tarehe 08.01.2022 amefanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya mkoa katika maeneo ya izazi na Pawaga ikiwa ni muendelezo wa ziara zilizopita katika kufanikisha kumalizika kwa miradi yote inayoendelea mkoani Iringa

Ziara ilianzia katika shule ya secondary Isimani ambapo mkuu wa mkoa alikagua maendeleo ya ujenzi wa madarasa mawili ya kisasa unaoendelea shuleni hapo na ziara ilifuatiwa na ukaguzi wa mradi wa maji wa izazi na baadae katika mradi wa maji wa pawaga ambapo Mh Queen Sendiga alikagua na kuelezwa juu ya maendeleo ya miradi ya maji ambayo ni shida kubwa katika maeneo hayo.

Ziara ilimalizika kwa mkutano wa hadhara ambao ulifanyika kata ya Itunundu  Pawaga  na ulikutanisha viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa wilaya , viongozi wa chama cha mapinduzi pamoja na madiwani ambao walijumuika na wananchi pamoja na Mkuu wa mkoa kwenye mkutano huo.aa

Mh mkuu wa mkoa amesifu viongozi wote wa chama na wa serikali kwa maendeleo ya miradi inayo tekelezwa katika kata hiyo ikiwa ni pamoja na ujenzi wa madara  94 katika halamashauri hiyo amabayo itaenda kurahisisha utoaji wa elimu pamoja na kupeleka watoto shule kwa awamu moja tofauti na kipindi cha nyuma wakati kuna uhaba wa madarasa pamoja na miradi ya maji amabyo itaenda kupunguza shida ya maji katika kata hiyo.

Mkuu wa mkoa pia amemtaka Mkurugenzi kuhakikisha  miradi hiyo inamalizika mapema na shida ya maji inatoweka katika kata hiyo na amesisitiza kuhakikisha wananchi wanatunza miundombinu hiyo ili shida ya maji isijitokeze maeneo hayo pamoja na uchangiaji wa maji hayo

 “serikali inatumia gharama kubwa kuleta maji maeneo hayo tutunze miundombinu tuache ubinafsi ni dhambi  , kuiharibu miundombinu makusudi ili ulishe mifugo ikiwa kijiji kingine wanakosa maji hiyo ni roho mabaya” amesema Mh. Queen Sendiga

Mh. Mkuu wa mkoa alizungumza na wananchi wa itunundu Pawaga swala la kupeleka watoto shule kwani madarasa ya yako tayari na kuandikisha ni bure hii ni baada ya takwimu kuonyesha kua uandikisha wa wanafinzi wa darasa la kwanza na awali kua mdogo kulingana na watoto wanao patikana katika maeneo hayo.

Mh. Queen Sendiga alihitimisha mkutano kwakuipongeza RUWASA kwa juhudi zao kuhakikisha maji yanafika kila sehem mkoani Iringa na kuisikiliza kero za wananchi wa pawaga ambapo kero kubwa ilikua ni maji kutoka kwa awamu pamoja marekebisho katika hospitali ya kata na akamtaka mkurugenzi pamoja na wataalamu wa maji kuhakikisha kero hizo zinatatuliwa kwa haraka.


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.