• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC HAPI AWATAKA WATENDAJI KILOLO KUTATUA KERO ZA WAZEE

Posted on: August 14th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Watendaji wilayani Kilolo wametakiwa kuwafuata wananchi katika maeneo yao na kutatua kero zao ili wafurahie uwepo wa serikali iliyopo madarakani.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi alipokuwa akiongea na wazee wa Wilaya ya Kilolo katika ukumbi wa mikutano wa halmashauri ya Wilaya ya Kilolo jana.

Mhe Hapi alisema “nimewaagiza watendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kuwafuata huko mlipo na kutatua kero zenu, siyo nyie kuja kuwafuata watendaji walipo”. Sitaki kusikia mnakero na watendaji hawajafika kuzitatua, aliongeza Mhe Hapi. Alisema kuwa aliamua kuanza kikao cha kazi na watendaji wa wilaya hiyo ili kuwapa maelekezo na dira anayoitaka katika kuwahudumia wananchi. Aliongeza kuwa kana wakati wananchi wanaichukia serikali yao kutokana na utendaji kazi wa watendaji usio wa kuridhisha.

Mkuu wa Mkoa aliwaambia wazee hao kuwa ameenda kujitambulisha Wilayani Kilolo. Baada ya kunipokea nitafanya ziara ya tarafa kwa tarafa kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia majawabu, hii ndiyo Iringa mpya ninayoitaka ambayo wananchi wake hawana kero, alisisitiza. Aidha, aliwaomba wazee wa hiyo kumpa ushirikiano katika kutekeleza majukumu ya serikali na kuiunga mkono serikali yao.

Mkuu wa Mkoa amefanya ziara yake ya kwanza katika Wilaya ya Kilolo kujitambulisha kwa Chama cha Mapinduzi, kuongea na watumishi, wazee na kufanya mkutano wa hadhara.

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.