• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

RC HAPI AZINDUA KAMPENI YA IRINGA MPYA

Posted on: September 8th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi amezindua kampeni ya Iringa mpya na kuahidi kuiteremsha Serikali kwa wananchi ili kusikiliza na kutatua kero zao.

Mhe Hapi alisema kuwa kampeni ya Iringa mpya inalenga ujenzi na uboreshaji utoaji huduma bora kwa wananchi. “Iringa mpya ni kuiteremsha Serikali chini kwa wananchi kwa kuwatumikia kwa heshima na uadilifu. Nimeamua sitakaa ofisini kusubiri kuletewa taarifa ambazo mara nyingine za uongo, nitawafuata wananchi tarafa kwa tarafa” alisema Mhe Hapi. Aliongeza kuwa atafanya mikutano ya kusikiliza kero za wananchi na watendaji kutoa majibu juu ya kero hizo.

Mkuu wa Mkoa alisema kuwa ziara inalenga kuwakumbusha watumishi wa umma kuwa fedha wanazolipwa lazima wazifanyie kazi kwa kuwahudumia wananchi. “Ziara inalengo la kujenga nidhamu kwenye utumishi wa umma. Lazima watumishi wa umma wajue nafasi walizonazo ni dhamana kwa umma. Tunataka watumishi watakaokutana na changamoto na kuzitatua. Tunataka watumishi wanaojua kuwa rushwa ni adui wa haki. Tunataka watumishi wanaoomba rushwa vyombo vya dola vishughulike nao” alisema Mhe Hapi.

Katika kuhakikisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma, Mkuu wa Mkoa aliagiza watumishi wawe wanawasilsiha taarifa ya utendaji kazi za kila wiki na mipango ya utekelezaji wa kazi kwa wiki inayofuata. Kumekuwa na utaratibu wa watumishi wa Serikali kuingia ofisini na kuchati badala ya kufanya kazi, lazima tuweke utaratibu wa kupimana kwa matokeo, alisisitiza.

Uzinduzi wa kampeni ya Iringa mpya utakwenda sambamba na ziara ya kutembelea tarafa kwa tarafa katika Mkoa wa Iringa kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi na watendaji kuzipatia majibu.

=30=



Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.