• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

SERIKALI INAJIVUNIA MCHANGO WA WANAWAKE KWA TAIFA

Posted on: June 27th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Serikali inajivunia mchango wa wanawake katika kuleta maendeleo ya familia na taifa kutokana na sera nzuri zilizowekwa nchini.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo makandarasi wamawake katika ushiriki kwenye kazi za ujenzi na matengenezo ya barabara katika ukumbi wa chuo cha VETA mjini Iringa.

“Ni jambo la kujivunia kuwa wanawake wa nyanda za juu kusini

mnajitoa na kuthubutu kwa kadiri muwezavyo kuleta maendeleo

yenu na taifa letu kwa jumla. Napenda kuwahakikishia kuwa ni sera

ya Serikali yetu kuwahamasisha wanawake kushiriki katika kazi za

ujenzi wa barabara” alisema Masenza. Aidha, aliwashauri

wanawake kuchangamkia fursa za miradi ya barabara ili

kuwaongezea mapato. Kwa kufanya hivyo ustawi na kipato kwa

familia zenu na jamii kwa ujumla utaongezeka na hatimaye

kutokomeza umaskini, aliongeza.

Mkuu wa Mkoa alisema kuwa mafunzo hayo yatawajengea uwezo katika maeneo ya uongozi kama wamiliki wa kampuni kwa kuwapa uwezo wa kuongoza wafanyakazi na vibarua. Aidha, alisema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia kutunza hesabu na fedha ili kutambua faida na hasara mapema.

Mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo makandarasi wanawake yalihudhuriwa na washiriki kutoka mikoa ya Iringa, Ruvuma, Njombe, Mbeya, Rukwa na Katavi. Aidha, yalilenga kuwajengea uwezo na uthubutu makandarasi wanawake kushiriki katika kazi za ujenzi na matengenezo ya barabara.

=30=


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.