• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Serikali yadhibiti Mfumuko wa Bei kunufaisha Wafanyakazi-

Posted on: May 1st, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Serikali imeamua kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa ili kuwapunguzia ugumu wa maisha wafanyakazi nchini.

Kauli hiyo ilitolewa na Rais Dkt John Magufuli alipokuwa akiongea na wafanyakazi katika sherehe za Mei Mosi kitaifa zilizofanyika katika uwanja wa Samora mjini Iringa.

Dkt Magufuli alisema “nachotaka kuwaambia ndugu zangu, nawapenda wafanyakazi. Nilitamani mwaka huu kupandisha mishahara, lakini baada ya kuona hizi changamoto tulizonazo nikaona tuzimalize kwanza na kuthibiti mfumuko wa bei ya bidhaa. Naomba mnielewe ndugu zangu wafanyakazi”. Aliongeza kuwa serikali yake imefanikiwa kudhibiti mfumko wa bei hadi kufikia asilimia 3.9.

Rais Dkt Magufuli alisema kuwa serikali yake imejikita katika kutekeleza miradi ya maendeleo yenye matokeo makubwa kwa taifa. Alisema kuwa miradi hiyo itasaidia kuongeza fedha kwa serikali na kwa wananchi.  

Dkt Magufuli ilizitaja shughuli zinazotekelezwa na serikali yake kuwa ni kutoa elimu bila malipo kwa wanafunzi wa elimu msingi. Alisema utekelezaji huo unaigharimu serikali shilingi bilioni 23.8 kila mwezi, ikiwa imetoa shilingi bilioni 714 tangu aingie madarakani. Shughuli nyingine aliitaja kuwa ni ulipaji wa madeni ya mifuko ya hifadhi ya jamii yaliyofikia shilingi trilioni 1.6 ambapo jumla ya shilingi trilioni 1.4 zimelipwa na serikali yake mpaka sasa.

Serikali yake imelipa zaidi ya shilingi trilioni mbili kwa kipindi cha miaka miwili, zikiwa ni madeni ya nje.

Kwa upande wa mishahara, alisema “mishahara tunalipa shilingi bilioni 564.501 baada ya kutoa wafanyakazi hewa, zamani tulikuwa tunalipa shilingi bilioni 777”.

Maeneo mengine aliyataja kuwa ni kuongeza mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu, kujenga bandari ya Mtwara, miradi ya maji, ukarabati wa reli na ujenzi wa rada. Miradi mingine ni ujenzi wa meli, ununuzi wa ndege, ujenzi wa miundombinu ya umeme na ujenzi wa mradi wa Stigler's Gorge.

=30=

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.