• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

UMEME WAKWAMISHA UJENZI WA VIWANDA

Posted on: December 2nd, 2017


Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Upungufu wa upatikanaji wa umeme umekuwa kikwazo katika juhudi za uanzishaji wa miradi ya kiuchumi na ujenzi wa viwanda mkoani Iringa.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipokuwa akiwasilisha taarifa fupi ya Mkoa wa Iringa kwa waziri wa Nishati ofisini kwake jana.

Masenza alisema “mheshimiwa waziri, pamoja na utekelezaji huu wa kusukuma maendeleo ya wananchi, kumekuwa na changamoto kadhaa zinazochelewesha juhudi hizi. Baada ya wananchi kuitikia wito wa uanzishaji miradi ya kiuchumi ikiwemo ujenzi wa viwanda, pamekuwa na upungufu katika kupatikana kwa umeme wa uhakika. Maeneo yanayokumbwa na tatizo hili ni pamoja na Iringa mjini na wilaya ya Mufindi”. Changamoto nyingine ni miradi mikubwa ya kufua umeme inahitaji uwekezaji mkubwa na fedha nyingi, hivyo kuwa kikwazo kwa wananchi wazalendo na kushauri serikali kuwa na udhamini kwa miradi hiyo.

Mkuu wa Mkoa alisema kuwa Mkoa utaendelea kukabiliana na changamoto hizo kwa kushirikiana na wadau kwa kuwa na ramani itakayoonesha maeneo ya viwanda. “Ramani hii ikikamilika itawasilishwa kwenye mamlaka zinazosimamia miundombinu kama umeme, maji, barabara ili kuhakikisha Mkoa unakuwa na mazingira bora na wezeshi kwa ujenzi na uendelezaji wa viwanda” alisema mkuu wa Mkoa.

Waziri wa Nishati alifanya ziara ya siku moja kukagua viwanda vinavyozalisha nguzo mkoani Iringa ili kujiridhisha na uwezo wa viwanda hivyo kuzalisha nguzo nchini.

=30= 

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.