• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

WILAYA YA KILOLO YATAKIWA KUKUSANYA NA KUSIMAMIA MAPATO YA SERIKALI

Posted on: September 20th, 2018

Na. Dennis Gondwe, Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa-IRINGA

Watendaji wa Wilaya ya Kilolo wametakiwa kukusanya na kusimamia mapato ya Serikali ili kuongeza wigo wa Serikali kuhudumia wananchi wake.

Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Ally Hapi alipokuwa akiongea watendaji wa Wilaya ya Kilolo katika majumuisho ya ziara yake ya Tarafa kwa Tarafa wilayani Kilolo jana.

Mhe Hapi alisema kuwa mapato ya Serikali ni jambo la msingi kwa uendeshaji wa shughuli za Serikali.”Msiwe na mzaha kwenye kukusanya mapato ya Serikali. Mapato ya serikali ndiyo yanayotumika kugharamia miradi ya maendeleo” alisisitiza Mhe Hapi. Vilevile, aliitaka Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza wigo wa mapato yake. “Ndugu zangu, ukusanyaji mapato uende sambamba na usimamizi wa mapato hayo ili yatumike kwa kazi iliyokusudiwa” alisema Mhe Hapi.

Aidha, alisisitiza usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Kilolo. Alitoa pongezi kwa ujenzi wa hospitali ya wilaya unaoendelea na miradi mingine ya maendeleo. Aidha, aliwaagiza Wakala wa ujenzi nchini (TBA) kumsimamia vizuri mkandarasi anayejenga hospitali hiyo ili ajenge kwa viwango vinavyokubalika kwa mujibu wa matakwa ya mkataba.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, amemaliza ziara yake siku siku tatu kutembelea Tarafa tatu za Wilaya ya Kilolo na kuanza ziara ya kutembelea Tafara za Wilaya ya Iringa.

=30=




Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.