• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

ZAIDI YA 30% YA MAVUNO HUPOTEA SHAMBANI

Posted on: June 25th, 2018

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa

Wakulima nchini wamekuwa wakipoteza zaidi ya asilimia 30 ya mavuno na kuwanyima wakulima kunufaika na jasho lao.

Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza katika hotuba yake kwenye zoezi la uhamasishaji wa kupunguza upotevu na uharibifu wa zao la mpunga pamoja na kuhifadhi pamoja ili kuwa na soko la uhakika katika tarafa ya pawaga, wilayani Iringa.

Masenza alisema kuwa uhifadhi na utunzaji duni wa mazao umekuwa ukisababisha upotevu wa mavuno jambo linaloathiri kipato cha mkulima. “Takwimu zinaonesha kuwa upotevu ni takribani asilimia 30- 40 ya mavuno yote ya mkulima na hutokea baada ya mavuno. Hiki ni kiwango kikubwa sana ambacho kinawanyima wakulima uwezo wa kufaidika kutokana na jasho lao lakini pia kinaipa Wilaya, Mkoa na Nchi changamoto kubwa ya kuhakikisha uhakika endelevu wa chakula hapa nchini’ alisema masenza. Kwa kiasi kikubwa upotevu husababishwa na ukaushaji usioridhisha, mbinu duni za uvunaji, shambulio la wadudu na visumbufu” alisema Masenza.  

Akiongelea uhifadhi wa mazao kwa pamoja ghalani, mkuu wa mkoa alisema kuwa serikali imekuwa ikichukua hatua kwa kushirikiana na wadau kukabiliana na tatizo la upotevu na uharibifu wa mazao. Hatua hizo alizitaja kuwa ni  kuelimisha wakulima jinsi ya kudhibiti upotevu wa mazao baada ya kuvunwa, njia bora za uhifadhi pamoja na kujenga maghala bora. Kujenga maghala ya kuhifadhia mazao peke yake hakutoshi kudhibiti uharibifu huo. Uharibifu na upotevu wa mavuno hutokea tangu hatua ya kuvuna hadi kuandaliwa kuliwa, aliongeza.

“Serikali kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) wametenga fedha kwa ajili ya mradi wa kupunguza upotevu wa mpunga kabla na baada ya mavuno na kuongeza mnyororo wa thamani na soko la mchele kwa wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa” alisema Masenza.

Wakati huohuo, mkuu wa mkoa aliwaagiza viongozi wote wa vijiji, Kata na Tarafa wakiwepo Wenyeviti na Watendaji wa Vijiji, Watendaji wa Kata, Madiwani na Maafisa Tarafa wawe mfano wa kuanza kuhifadhi ghalani na kumpatia tarifa ya utekelezaji. Vilevile, Viongozi wafanye mikutano ya uhamasishaji kwa wakulima kila kijiji na sehemu ya kuuzia mpunga/mchele iwe ni katika maghala yaliyojengwa ili kuzuia wakulima wasindelee kupunjwa na wafanyabiashara kwa kuwapa bei ndogo.  

=30=


Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • ‎RC SERUKAMBA AITAKA TRA KUDHIBITI RISITI FEKI, KUHAMASISHA ELIMU YA KODI

    May 19, 2025
  • TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM MKOA WA IRINGA.

    May 18, 2025
  • UKAGUZI WA MIRADI HALMASHAURI YA WILAYA YA MUFINDI

    May 08, 2025
  • RC SERUKAMBA AHIMIZA UWAJIBIKAJI KWA VIONGOZI NA WATUMISHI

    May 07, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Iringa
  • PReM
  • Investment profile
  • Ajira za waalimu
  • Press release

Tovuti Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Kuu ya Serikali

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga

    Anuani ya Posta: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania

    Simu: +255 262 702 715

    Mobile:

    Barua pepe: ras@iringa.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.