Ikiwa ni siku ya pili ya ziara ya mwenge Mkoa wa Iringa, leo April,29,2025 Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James amemkabidhi mwenge wa uhuru Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Mhe. Rebeca Nsemwa.
Mwenge wa Uhuru ukiwa Wilayani Kilolo utakagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi katika miradi mbalimbali ikiwemo ya sekta ya Afya,Elimu na Miundombinu.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, 4 Barabara ya Pawaga
Postal Address: P.O.Box 858, 51108 Gangilonga, Iringa, Tanzania
Telephone: +255 262 702 715
Mobile:
Email: ras@iringa.go.tz
Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.