• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Videos

  • RC SERUKAMBA AMKABIDHI MWENGE WA UHURU MKUU WA WILAYA YA MUFINDI DKT.LINDA SALEKWA

    June 22nd, 2024
  • KAMPENI YA UPIMAJI HALI YA LISHE KWA WATOTO YAZINDULIWA.

    June 12th, 2024

    Mkoa wa Iringa ambao ni kinara kwa uzalishaji wa vyakula sasa inaondokana na hali ya udumavu ambapo Mkuu wa Mkoa , Mhe. Peter Serukamba amezindua kampeni maalum ya kupima hali ya lishe kwa Watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 ambapo kwa Mkoa mzima ni watoto 2,059,204/= ili kubaini viashiria vya udumavu


    Kampeni hiyo imezinduliwa na kuanza rasmi leo Juni 12,2024 katika vituo vyote vya afya vilivyo ainishwa .


    Akizungumza katika kikao cha kamati ya afya ya msingi Mhe. Serukamba amesema kuwa kuhusu kampeni maalam ya kutathimini hali ya lishe kwa Watoto wote wenye umri chini ya miaka 5 itakayofanyika kuanzia leo mpaka Juni 15,2025 kwa Mkoa mzima.


    “Kinachotakiwa kwenu Wajumbe ni kutoa hamasa katika jamii, kusimamia shughuli za kampeni,kushirikiana na Wadau mbalimbali ili kufikia maendeleo na kufanikisha zoezi la ufanyaji wa tathmini ya hali ya lishe kwa Watoto Mkoani Iringa na kuepusha upotoshaji wowote utakaoweza kujitokeza lakini pia Wajumbe wa kamati hii mnapswa kuhakikisha mnakanusha taarifa za upotoshaji unaoweza kujitokeza katika kampeni hii ”


    Kwa upande wake Afisa lishe wa Mkoa wa Iringa ,Anna Nombo amesema timu ya Wataalam 343 kwa Mkoa watafanya vipimo ili kutathimini hali ya lishe na kupima kimo au urefu, uzito pamoja na mzingo wa kati wa sehemu ya juu ya mkono,kuangalia hali ya chanjo, kuangalia uwepo wa uvimbe mbonyeo katika miguu yote miwili , uwepo wa magonjwa sugu,ulemavu , hali ya ukamilishaji wa umezaji wa dawa za minyoo na kutambua uelewa wa malezi ya watoto.


    Pia ameongeza kwa kusema kuwa baada ya mtoto kupimwa , mtoa huduma atatakiwa kufanya tafsiri ya hali ya lishe ya mtoto husika ndipo mtoto atakayekutwa na hali duni ya lishe mzazi wake atatakiwa kufatiliwa namna ya malezi yake na ulishaji wa mtoto wake kupitia dodoso maalum ili itakapofikia hatua ya utatuzi kuweza kuitatua changamoto hiyo.

  • WAFANYABIASHARA WA SOKO LA MAFINGA WAFIKIA MAKUBALIANO NA MKUU WA MKOA KWA KWA KUSAINI MKATABA

    May 22nd, 2024

    Baada ya Agizo alilolitoa hapo jana Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba akiwa kwenye baraza la Madiwani wa Halmashauri ya mji wa Mafinga la kumtaka Mkurugenzi kusimamia ubomoaji wa vibanda 331 katika soko la mafinga kutoka na kitendo cha wafanyabiashara wa soko hilo kushindwa kutekeleza agizo la kusaini mkataba ndani ndani ya siku 20, Kufuatia agizo hilo uongozi wa wafanyabiashara ulilazimika kukutana na Mkuu wa Mkoa na kufanya nae mazungumzo na kumwomba kusitisha uamuzo huo wa kubomoa vibanda na badala yake azungumze na wafanyabiashara wote ili kufikia makubaliano ya pamoja jambo ambalo limetekelezwa huku Mkuu wa Mkoa akiwataka wafanyabiashara kusaini mkataba hadi kufikia jumatatu ya mei 27,2024 huku wakitakiwa kuanza kulipa kiasi cha shilingi Elfu 80 kwa mwezi kwa kila kibanda makubaliano ambayo utekelezaji wake utaanza juni mosi mwaka huu.Awali wafanyabiashara hao walikuwa wakilipa kati ya shilingi elfu tatu mpaka elfu tisa kwa mwezi jambo lililoikosesha mapato Halmashauri ya mji wa Mafinga na kuibua mgogoro uliodumu kwa muda wa miaka 15 huku Mkuu wa Mkoa Peter Serukamba akitumia siku 21 kumaliza mgogoro huo   jambo lililowafurahisha wafanyabiashara hao.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • Next →

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • MTIHANI MWEMA KIDATO CHA SITA

    May 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAKAMILISHA ZIARA MKOA WA IRINGA NA KUKABIDHIWA MKOA WA NJOMBE

    May 03, 2025
  • MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU KATI YA WILAYA YA IRINGA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

    April 29, 2025
  • MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU MKOA WA IRINGA

    April 28, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

Related Links

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.