• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Videos

  • MAONESHO YA KIMATAIFA YA UTALII KARIBU KUSINI 2023

    September 22nd, 2023
  • MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE. HALIMA O. DENDEGO AMETOA UFAFANUZI WA MIUNDOMBINU YA WAMACHINGA

    June 16th, 2023

    Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Halima O. Dendego ametolea ufafanuzi taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya kijaamii zilizojaa upotoshaji juu ya sekali ngazi ya Mkoa na wilaya kutoa maelekezo kwa watendaji kuvunja na kuharibu miundombinu ya wafanyabiashara.Mhe.Dendego ameyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na vyombo vya Habari ambapo amesema kuwa Serikali ya Wilaya na Mkoa haihusika na zoezi hilo lililoendeshwa kwa kutokufuata maelekezo rasmi yaliyotolewa na viongozi kwa lengo la kutengeneza mazingira rafiki kwa ajili  ya wafanyabiashara.Pia Dendego amesema watu wote waliohusika kutoa maelekezo ya kufanya uharibifu huo na kuleta taharuki kwa wafanyabiashara watachukuliwa hatua kali za kisheria na kinidhamu.Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa amewataka watumishi kufanya kazi kwa kushirikishana ili kuleta tija na kuongeza ufanisi katika kuwatumikia wananchi.Imetolewa na Afisa habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

  • UZINDUZI WA ZAHANATI YA ITAGUTWA

    November 17th, 2022

    Ikiwa ni wiki la Maadhimisho ya Usafi wa Mazingira Mkuu wa Mkoa Iringa Mhe. Halima O. Dendego akiwa ameambatana na Viongozi wa Afya amezindua Zahanati ya Itagutwa Iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Kata ya Kiwele na Kutembelea Shule Ya Msingi Kitapilimwa Kutazama Ujenzi Wa Vyoo Vilivyojenga na Jumuiya ya Uandisi na Uifadhi wa Mazingira EEPCO kwa kusaidiana na Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa ufadhili wa UNICEFAkitoa taarifa ya Ujenzi wa Zahanati hiyo Mwakilishi wa EEPCO amesema kuwa  shirika hilo lilipokea kiasi cha shilingi Bilioni Nne na Hamsini na hamsini na Nane na Mia Nane Kumi na Tano na Mianne Hamsini kutoka UNICEF ikiwa na lengo la kutekeleza miradi yam aji, Shule na Ujenzi wa Vituo vya Afya pia amesema lengo kuu la EEPCO  ni kushirikiana na Serikali na Taasisi mbalimbali Duniani  ili kuboresha uelewa na kujifunza mikakati mbalimbali ya kuhifadhi mazingira ni kutatua changamoto ya Mazingira mashuleni na katika vituo vya Afya.Akizindua Zahanati hiyo Mhe Halima  Dendego ametoa shukurani kwa EEPCO kwa kazi kubwa wanayoifanya ya Kujitolea kuipambania jamii katika kujenga Zahanati, kujenga Vyoo katika shule na kazi nyingine wanazozifanya huku akiwaomba wananchi hao kuendelea kujitokeza katika kuleta maendeleo kwenye jamii kwa kujitolea katika ujenzi wa Shule na Zahanati na kutunza Miundombinu ambayo imeboreshwa na Shirika hilo na kuwa ahidi kuwa serikali ipo Pamoja nao katika kila jambo watakalotaka kulifanya.Pia Akiwa Katika Shule ya Msingi Kitapilimwa Mhe. Dendego amewapongeza wananchi wa eneo hilo kwa namna wanavyojitoa katika kwenye maendeleo ya elimu na kuwaahidi kuwa serikali ipo Pamoja nao  kama Mkuu wa Mkoa atahakikisha wanashirikiana bega kwa bega katika kuboresha miundombinu ya shule hizo.Nao baadhi ya wananchi wametoa shukrani kwa serikali huku wakiwapongeza wauguzi waliopo katika zahanati hiyo kwa namna wanavyofanya kazi

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • Next →

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • LAAC YAIELEKEZA OFISI YA MKUU WA MKOA IRINGA KUIMARISHA USIMAMIZI WA MIRADI.

    March 18, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YAIAGIZA MANISPAA YA IRINGA KUKAMILISHA MRADI WA MACHINJIO YA NGELEWALA KABLA YA DISEMBA 30, 2027

    March 17, 2025
  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) WATEMBELEA SHULE YA WASICHANA LUGALO ILIYOPO HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

    March 16, 2025
  • MAPOKEZI YA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC)

    March 15, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

Related Links

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.