• Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
    • Complaint |
Iringa Region

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Iringa Region

  • Home
  • About Us
    • History
    • Location
    • Vision and Mission
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Sections
      • Administration and Human Resources
      • Education
      • Planning and Coordination
      • Health and Social Welfare
      • Economic and Production
      • Infrastructure
      • Water Service
      • LGAs Management
    • Units
      • Finance and Accounts
      • Internal Audit
      • Information and Communication Technology
      • Legal Service
      • Procurement Management Unit
  • Districts
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • District
    • Iringa MC
    • Mafinga TC
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Investiment Opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
    • Industries and Trade
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Ruaha National Park
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Water
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
    • Civil Servant Cervices
  • Publications
    • Guidlines
    • Policies
    • News
    • Forms
  • Media Center
    • Photo Gallery
    • Videos
    • News Later
    • Events

Videos

  • RC SERUKAMBA AAGIZA KUVUNJWA VIBANDA 331, SOKO LA MAFINGA

    May 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba ametoa masaa 24 Kwa wafanyabiashara wanaomiliki vibanda katika soko la Mafinga kuvunja vibanda 331 vilivyojengwa kimakosa katika eneo linalomilikiwa na Halmashauri ya Mji Mafinga ambavyo husababisha hasara ya zaidi ya Millioni Kumi Kwenye Halmashauri hiyo.Hayo yamejiri  wakati alipofanya ziara ya ukaguzi katika soko hilo akiwa ameambatana na kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na MkoaMhe. Serukamba amesema kuwa Halmashauri haiwezi kuendelea endapo hakuna mapato yoyote yale yanayoingia katika Halmashauri hivyo amesema kuwa  hawajalipa kodi kwa zaidi ya miezi sita basi wapishe kwenye eneo hilo la Halmashauri Hivyo amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwanza kuzungushia utepe kwenye eneo hilo ili vibanda hivyo viweze kubomolewa."Kwahiyo nimetoa maelekezo watakuja kufunga liboni tanesco wataondoa umeme ili kesho kutwa tunaanza kubomoa vibanda vyote ili tubakie na ardhi yetu halafu baada ya hapo tutajua tunalipangaje soko letu na tutaanza kufanya biashara na wale ambao watahitaji kufanya biashara na sisi"Nae Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa amesema kutokana na kukosa Mkataba wafanyabiashara hao wamekosa leseni na kupelekea Halmashauri hiyo kukosa mapatoKwa upande mwingine Mkuu wa Idara ya Viwanda na Biashara wa Halmashauri ya Mji Mafinga Ndg. Evance Mtikile suala la mgogoro wa mkataba kati ya wafanyabiashara hao na Halmashauri limeanza tangu mwaka jana  ambapo wafanyabiashara wamekuwa wakigomea mkataba huo na kupelekea Halmashauri hiyo kukosa mapato.

  • TUANZE UTARATIBU MPYA WA UWEKAJI AKIBA, RC: SERUKAMBA

    May 4th, 2024

    Ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amewataka wafanyakazi nchini kuanza utaratibu wa kujiwekea akiba kwa maisha yajayoAkizungumza katika maadhimisho hayo Mhe. Serukamba amewasisitiza Watanzania kwa kusema kuwa Dunia inapaswa kuiga kutoka kwa wafanyakazi wa Tanzania kwa kuiga na wao kuanza kujiwekea akiba katika maisha yajayo kwenye familiaPia ameongeza kwa kuwataka wafanyakazi hao kuwa na maadili katika utendaji wa kazi wawapo Ofisini na pindi wanapowahudumia wananchi.Sambamba na hayo amewataka wafanayakazi hao kuendeleza mapambano ya kupambana na ukatili wa kijinsia na kutokomeaza

  • RC:SERUKAMBA AZINDUA JENGO LA UPASUAJI KITUO CHA AFYA WENDA -IRINGA

    April 11th, 2024

    Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba ameshiriki katika uzinduzi wa jengo la upasuaji mkubwa la kituo cha Afya cha Wenda kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kinachomilikiwa na kanisa Katoliki jimbo la Iringa.

    Katika uzinduzi wa jengo hilo zipo baadhi ya changamoto ambazo kituo hicho wanakumbana nazo kubwa ikiwemo miundombinu mibovu ya barabara ya kufikia katika kituo hicho, ambapo Mhe. Serekamba amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kukutana na Meneja wa TARURA kuhakikisha wanatengeneza Barabara hiyo.


    Aidha amesema Serikali inaendelea kutambua mchango mkubwa unaofanywa na Taasisi za kidini katika kuhudumia jamii hivyo ameahidi  kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za kidini.


  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • Next →

Announcements

  • No records found
  • View All

Latest News

  • DKT. BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA UWEKWAJI WAKFU ASKOFU MTEULE JIMBO LA IRINGA

    April 27, 2025
  • KARIBU MKOA WA IRINGA NAIBU WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA NISHATI MHE. DOTO BITEKO

    April 26, 2025
  • MIRADI YA MAENDELEO YENYE DHAMANI YA ZAIDI YA BILLIONI 30 KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU MKOA WA IRINGA

    April 24, 2025
  • RC SERUKAMBA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMUAGA BI. ANNA KIBAO ALIYEKUWA MTUMISHI WA OFISI YA MKUU WA MKOA IRINGA

    April 19, 2025
  • View All

Video

MAENDELEO KWA SASA BILA MAWASILIANO HAYAWEZEKANI- RC KHERI
More Videos

Quick Links

Related Links

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

COUNTER-free

Map

Contact Us

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Copyright ©2024 Iringa Regional Secretariat. All rights reserved.