• Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Iringa Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mahala
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu
      • Mipango na Uratibu
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Maji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Huduma za Kisheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Iringa
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Mufindi
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
    • Kilolo
      • Historia
      • Viongozi
      • Halmashauri zilizopo kwenye Wilaya
  • Halmashauri
    • Iringa MC
    • Mafinga Mji
    • Iringa DC
    • Kilolo DC
    • Mufindi DC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda na Biashara
    • Vivutio vya Kitalii
      • Fahari Yetu
      • CHOGELASAFARICAMP
      • Kitovu cha Utalii Nyanda za Juu Kusini
      • RUAHA HILLTOP
      • Hifadhi ya Taifa Ruaha
      • Udzungwa Mountains National Park
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Sera
    • Habari
    • Fomu
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • News Later
    • Matukio

Video

  • UZINDUZI WA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGAF

    September 20th, 2024

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Abdallah Hamis Ulega(MB) amezindua Miradi Miwili ya Maendeleo na kuweka Jiwe la Msingi mradi mmoja na kukagua Mradi Mmoja wa maendeleo katika Halmashauri ya Mji Mafinga yenye thamani zaidi ya shilingi Bilioni 3.Akizungumza Kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika tarehe 18/9/2024 katika viwanja vya Kituo cha Afya Ifingo Mheshimiwa Ulega amesema amefarijika kuona maendeleo Makubwa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ambayo imepokea fedha kutoka Serikali Kuu, Halmashauri ya Mji Mafinga na kikubwa zaidi uchangiaji wa nguvu za wananchi katika utekelezaji wa Miradi hiyo.“ Nimeweka Jiwe la Msingi katika Jengo la Mama na Mtoto katika Zahanati ya Rungemba jengo ambalo lilianza ujenzi kwa kuibuliwa na wananchi kwa nguvu zao wenye thamani ya shilingi Milioni 40 na Halmashauri ime jenga kwa mapato yake ya ndani shilingi Milioni 77. Hili na jambo la kujifunza.”Nitafikisha salamu hizi kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa wananchi wa Mafinga wanafanya kazi kwa ushirikiano mkubwa na wanatekeleza Miradi ya Maendeleo kwa juhudi zao na hivyo kuunga mkono juhudi za Mheshimiwa Rais na kusukuma mbele gurudumu la Maendeleo la Mji Mafinga.Miradi iliyotembelewa na Mheshimiwa Waziri wa Kilimo Mhe Abdallah Ulega (MB) ni;-Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Zahanati ya Rungemba, Uzinduzi wa Shule Mpya ya Kata Mtaa wa Ndolezi Kata ya Boma ( SEQUIP), Kuzindua madarasa mawili katika Shule ya Msingi Kikombo na kutembelea ujenzi wa nyumba ya walimu(2 in 1) kupitia Mradi wa SEQUIPKatika Ziara hiyo Mbunge wa JimboLa Mafinga Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Cosato Chumi amekabidhi vitanda 6 katika Zahanati ya Rungemba kwaajili ya jengo la mama na mtoto kuunga mkono juhudi za Serikali na wananchi walioibua mradi huo

  • RC SERUKAMBA AMKARIBISHA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI MHE. ABDALLAH ULEGA

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba amempokea Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega, ambaye amewasili Mkoani Iringa Kwaajili ya ziara ya kukagua na kuzindua Miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya Sita, ambapo leo ameanza kuzindua miradi ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

  • RC: SERUKAMBA: MGENI RAMSI WA MAFUNZO YA MUJIBU WA SHERIA KIKOSI CHA JESHI 841 KJ MAFINGA

    September 20th, 2024

    Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Peter Serukamba Septemba 12,2024 amefunga mafunzo ya Muujibu wa sheria katika kikosi cha Jeshi 841 KJ MafingaKabla ya kufunga Mafunzo hayo Mhe. Serukamba alipokelewa na Mwenyeji wake ambaye ndiye Mkuu wa kikosi Kanali Issa Chalamila na badae akagua gwaride

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU KATI YA WILAYA YA IRINGA NA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOLO

    April 29, 2025
  • MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU MKOA WA IRINGA

    April 28, 2025
  • DKT. BITEKO AMWAKILISHA RAIS SAMIA UWEKWAJI WAKFU ASKOFU MTEULE JIMBO LA IRINGA

    April 27, 2025
  • KARIBU MKOA WA IRINGA NAIBU WAZIRI MKUU NA WAZIRI WA NISHATI MHE. DOTO BITEKO

    April 26, 2025
  • Tazama zote

Video

RC SERUKAMBA: WANANCHI PAWAGA FANYENI KAZI KWA BIDII.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

Tovuti Linganifu

  • Bunge

Watembeleaji Kidunia

world map hits counter

Jumla ya Watembeleaji

COUNTER-free

Ramani

Wasiliana Nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki ©2025, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Iringa.